Jumatatu, 29 Oktoba 2018

SAFARI YA MWISHO YA MTANGAZAJI ISACK GAMBA

ad300
Advertisement
Mamia ya waombolezaji wamekusanyika katika eneo la hospitali ya jeshi ya Lugalo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuuaga mwili wa mtangazaji  Isaac Gamba aliyefariki dunia Ujerumani.

Ibada ya kumuaga mwandishi wa habari wa idhaa ya Kiswahili DW, Isaac Muyenjwa Gamba, inaendelea Lugalo mjini Dar es Salaam.

Watu mbalimbali, familia, jamaa, ndugu, marafiki ,  Mkuu wa   Idhaa ya kiswahili ya DW pamoja na baadhi ya watumishi wa idhaa, waandishi wa habari wa vyombo vya kimataifa na kitaifa, wasikilizaji na waliokuwa wapendwa wa marehemu wamekusanyika eneo la hsopitali ya  Lugalo kutoa heshima zao za mwisho.
Share This
Latest
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: