Jumatano, 11 Aprili 2018

Ajari ya Ndege yaua watu Algeria

ad300
Advertisement

Watu wasiopungua 181 wamefariki Dunia nchini Algeria baada ya ndege ya kijeshi kuanguka karibu na kituo chandege cha Boufarik nje ya mji mkuu wa Algiers

Taarifa zinaeleza kuwa ndege hiyo ilikuwa inaelekea Mji wa Bechar uliopo magharibi mwa Aligeria ilikuwa imebeba vikosi vya wanajeshi vya takribani watu 20 kila kimoja

Hii ni ajali mbaya ya ndege kuwahi kutokea nchini Algeria tangu mwaka 2003 ambapo ndege ilianguka katika uwanja wa Tamanrasset muda mfupi baada ya kuruka na kuua watu 102

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: