Jumatano, 21 Machi 2018

Nondo akosa dhamana

ad300
Advertisement

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Iringa na kusomewa makosa mawili ya kutoa taarifa za uongo mitandaoni na kudanganya kutekwa,

Hakimu asema hawezi kumpa dhama kwa usalama wake.

Dhamana ya Abdul Nondo itatazamwa Jumatatu juma lijalo baada ya hakimu kuomba kusoma sheria inasemaje juu ya kuzuiwa dhamana kwake hivyo amesema Jumatatu itajulikana kama kuna kupewa dhamana ama lah. Kafanya hivyo(kutompa dhamana) kwa usalama wa mshtakiwa (Nondo) kwani watekaji wapo mitaani wanasakwa bado.

Shauri limeahirishwa na mtuhumiwa kupelekwa rumande.

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: