![]() |
| Advertisement |
Shule ya sekondari Nyamungo imelazimika kufungwa kwa muda baada ya vurugu zilizotokea katika uchaguzi wa serikali ya wanafunzi shuleni hapo
Mwanafunzi mmoja mtukutu alitumia karatasi ya kupiga kura kuandika matusi na kukejeli walimu na wanafunzi wa shule hiyo uongozi wa shule ulimtafuta mwanafunzi huyo na kubaini mwandiko wa mwanafunzi aliyefanya kitendo hicho na kumpata baadae kumfukuza shule.
Wanafunzi hawakukubaliana na uwamuzi wa uongozi wa shule hiyo na ndipo vurugu zilipoanza.vurugu hizo zimesababisha kuharibu ofisi ya mwalimu wa nidhamu na ofisi ya mkuu wa shule
Mkuu wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro amechukua uamuzi wa kuifunga shule hiyo kwa muda ili kuepusha hasara zaidi


0 maoni: