Jumatatu, 12 Machi 2018

Tetesi za soka barani ulaya

ad300
Advertisement

Kiungo wa kati wa Chelsea na Ufaransa N'Golo Kante, 26, ni miongoni mwa wachezaji ambao Paris St-Germain inapanga kujaribu kuwanunua mwisho wa msimu. (Canal + kupitia Goal.com)

Mshambuliaji Mjerumani wa RB Leipzig wa miaka 22 Timo Werner amewaambia Liverpool na Manchester United wasiwe na matumaini ya kumchukua mwisho wa msimu. (Mirror)

Fowadi wa Atletico Madrid Antoine Griezmann, 26, naye anadaiwa kuanza kutafuta nyumba eneo la Catalonia katika kinachoaminika kwamba ni maandalizi yake akitarajia uwezekano wake wa kuhamia Barcelona. (Marca)

Lakini meneja wa Atletico Diego Simeone amepuuzilia mbali uvumi kuhusu uwezekano wa Mfaransa huyo kuhama karibuni (Goal.com)

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: