Jumatano, 21 Machi 2018

Singida united yakanusha kufungiwa kwa Lyanga

ad300
Advertisement

Timu ya singida united ya mkoani singida inayocheza ligi kuu soka Tanzania bara imekanusha kufungiwa kwa mchezaji wake Daniel Lyanga

Taarifa zilizoelezwa ni kuwa mchezaji Daniel Lyanga wa singida united amefungiwa na shirikisho la soka Duniani FIFA kutokana kusajiriwa katika Timu ya singida United ilihali akiwa bado na Mkataba na timu yake ya zamani ya Fanja Fc  Ya nchini Oman

Taarifa kutoka singida united zinasema kuwa mchezaji huyo hajafungiwa kwa miezi sita kama inavyoeleza Bali ITC yake ilichelewa kutokana na mda wa usajili kuisha kabla ya kuikamilisha

Mchezaji wetu Daniel  Lyanga hajafungiwa miezi sita usajili wake ulihusisha timu zote mbili singida united na fanja Fc ikiwepo malipo ya gharama za mkataba aliokuwa nao Kule Fanja Fc

Kilichokuwepo ni kwamba ITC yake ilichelewa kutokana na dirisha dogo la usajili kufungwa sisi na TFF tuliandikiwa barua na FIFA kwamba ITC ya Lyanga itakamilika mbaka pale dirisha kubwa la usajili litakapofunguliwa mwezi July 2018

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: