Jumatatu, 5 Machi 2018

Afya ya Tundu Lissu yaimarika

ad300
Advertisement

Mbunge TunduLissu akiwa na mkewe katika mitaa ya Jiji la Brussels nchini Ubelgiji. Akifanya mazoezi madogo madogo mtaani ili kuendelea kuimarisha zaidi Afya yake


Lissu alijeruhiwa kwa kupigwa risasi Septemba mwaka jana huko mjini Dodoma akiwa katika shughuli za bunge 

Alipatiwa matibabu ya awali katika hospali ya mkoa wa Dodoma kabla ya kufikisha Nairobi Kenya ambapo alipatiwa matibabu kamili na baadae kwenda ubelgiji  kumalizia matibabu yake

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: