Jumanne, 17 Aprili 2018

Zitto aikumbusha serikali kujibu maswali ya CAG

ad300
Advertisement

USISAHAU: Maswali muhimu kutoka Ripoti ya CAG 2016/17 SERIKALI KUU

( rejea kurasa za Ripoti Kuu ya CAG )

- Zipo wapi TZS 1.5trn zilizokusanywa na Serikali Lakini hazikutolewa kwa matumizi wala kukaguliwa? Ukurasa 34

- Kwanini Serikali imekopa TZS 500bn zaidi ya kiwango kilichoidhinishwa na Bunge. Uk 30

- Kwanini Serikali imetekeleza 68% tu ya Bajeti ya Maendeleo kwa Serikali Kuu na 51% tu kwa Serikali za Mitaa? uk 38

- Kwanini Serikali ilitumia zaidi ya shilingi 219 bilioni, kulipa madeni ya nyuma ambayo hayakuwa kwenye Bajeti? uk 40

- Kwa nini TRA Wametoa Takwimu za Uongo za Mapato ya Kodi ya zaidi ya shilingi 2.2 trilioni? uk 109

- Serikali ya Jamhuri ya Muungano imepata Hati Chafu ( Hesabu Jumuifu za Taifa ). Kwanini Katibu Mkuu Hazina hajachukuliwa hatua kama ilivyokuwa kwa Wakurugenzi wa Serikali za Mitaa? uk 296-298

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: