Ijumaa, 6 Aprili 2018

Magufuli amtambulisha mgunduzi wa Tanzanite

ad300
Advertisement

Raisi wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufulii amtambulisha Mzee Jumanne Ngoma, mgunduzi wa madini ya Tanzanite, aahidi kumpatia Sh milioni 100 kwa ajili ya kujitibia ugonjwa unaomsumbua

Rais Magufuli akizungumza katika uzinduzi wa ukuta katika mgodi wa Tanzanite raisi Magufuli amesema

"Huyu mzee sifahamu kama yupo hapa, niliagiza aje hapa nimtambulishe na Tanzania ikujue, na historia ibaki Tanzania kuwa wewe ndiye mvumbuzi wa Tanzanite."

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: