Jumatatu, 9 Aprili 2018

Hatima ya mtandao wa Telegram nchini Urusi

ad300
Advertisement


Mamlaka ya Mawasiliano Roskomnadzor yafungua kesi ikitarajia kuruhusiwa kuufungia na kuupiga marufuku mtandao wa Telegram nchini Urusi

Serikali ya Rais Putin tangu mwaka 2017 haina furaha baada ya waendeshaji wa mtandao wa Telegram kugoma kujisajili kama watoa huduma ya mawasiliano 

Telegram na Serikali ya urusi wamekwaruzana mara kadhaa kutokana na Serikali ya Rais Putin kutaka kuwa na uwezo wa kuingilia mawasiliano ya Telegram

Hatimaye leo Roskomnadzor wamefungua kesi kutaka mtandao wa Telegram ufurushwe nchini humo kwa kushindwa kutii mamlaka na kutoa ushirikiano.

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: