Jumatatu, 26 Februari 2018

Simba leo ni 5G

ad300
Advertisement

Klabu ya simba sports club ya msimbazi jijini Dar es salaam imeendeleza ushindi wake Mara baada ya kuichapa Mbao fc Magoli Matano bila Majibu katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam

Mvua hiyo ya magoli ilianzishwa na mshambuliaji mwenye kasi shiza ramadhani kichuya dakika ya 38 na baadae Emmanueli okwi dakika ya 41 kupitia mkwaju wa penati hivyo kipindi cha kwanza kuisha kwa matokeo ya mbili bila simba ikiongoza

Kipindi cha pili simba waliongeza kasi zaidi ya mashambulizi kulikopelekea Mbao kunyon'gonyea na kuongezwa bao la tatu lililotiwa kimyani na mshambuliaji Emmanuel okwi dakika ya 68 na baadae Erasto Nyoni dakika ya 82 kabla ya mchezaji Gyan kufunga bao la tano dakika ya 86 na kuhitimisha idadi ya magoli Matano kwa sifuri

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: