Jumatano, 28 Februari 2018

Breaking News:Ajali ya treni yatokea kigoma

ad300
Advertisement

Treni ya abiria iliyokuwa ikisafiri kutoka Tabora kwenda Kigoma, imeanguka mchana huu katika eneo la kati ya stesheni ya Malagarasi na Uvinza.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma Ferdinand Mtui amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo. Na hadi sasa hakuna majeruhi wala Vigo vilivyoripotiwa katika ajari hiyo kamanda wa polisi Ferdinand Mtui amesema atatoa taarifa zaidi pindi atakapowasili katika eneo la tukio

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: