Ijumaa, 6 Aprili 2018

Kesi ya zuma yasogezwa mbele

ad300
Advertisement


Rais wa zamani wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameshtakiwa kwa rushwa iliyohusishwa na mkataba wa silaha za miaka ya 1990.
Kesi hiyo iliyosomwa Leo katika mahakama kuu nchini Afrika kusini hata hivyo kesi hiyo imeahirishwa na kurejewa tena mpaka Juni 8.

Jacob zuma Anakabiliwa na mashtaka 16 ya rushwa, ikiwepo  udanganyifu na utakatishaji wa fedha,

Mr Zuma, ambaye alijihudhuru nafasi ya uraisi mwezi  Februari, amekataa makosa yote.

Wafuasi wake walishuka kwenye jiji hilo kwa mkutano wake, wakati wakosoaji wake wanafikiria hatua ya mahakama ni ya muda mrefu

Mr Zuma na timu yake ya kisheria wanasisitiza mashtaka hayo yanatokana na kisiasa.

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: