Jumatatu, 26 Februari 2018

Sanaipei:Sina kolabo kwa sasa

ad300
Advertisement


Msanii aliyetamba kwa kibao chake cha "Amina"  Sanaipei Tande ameeleza Mashabiki wake kuwa kwa sasa hana nyimbo yoyote ya kushirikishwa na nyimbo nyingi alizoziandika ni za binafsi na amesema kuwa kolabo zitakuja baadae

"So kwa saivi Niko pale ambapo najaribu kuchagua direction yangu lakini definitely baada ya Amina kina project nyingi sana ambazo ni meziandika na wala si makolabo kolabo ziko kando ni vitu ambazo zitakuja baadae"

Aidha msanii huyo ameeleza kuwa anauwezo wa kufanya mziki wa aina tofauti tofauti ila kwa sasa anatafuta mwelekeo

"Na si kwamba eti mi sina direction lakini Mimi ni msanii nayeweza kuimba nyimbo za aina yoyote au I can think out of the box...I can see out of the box ila nataka kujiweka niwe na direction niwe na Identity yangu kama sanaipei ukimsikiliza ni nyimbo aina gani anazo imba"

Vile vile Msanii huyo amewashukuru Mashabiki zake wa Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla kwa kupokea kazi zake na ameahidi kufanya kazi kwa bidii

Source: kingsfm

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: