Jumanne, 15 Mei 2018

Tuchel kocha mpya wa timu ya Ufaransa PSG

ad300
Advertisement
Thomas Tuchel, kocha wa zamani wa timu ya soka ya Ujerumani Borussia Dortmund atakuwa kocha mpya wa timu ya Ufaransa ya Paris Saint-Germany


Ni kazi ya kwanza nje ya Ujerumani kwa Tuchel mwenye umri wa miaka 44, ambae alipata mafanikio mazuri kwa misimu kadhaa akiwa timu ya Mainz kabla ya kumpokea Jürgen Klopp kama kocha wa Dortmund. Tuchel alilazimika kuacha kucheza soka mnamo mwaka 1998 baada ya kupata jeraha la mguu wakati akiichezea timu ya Ulm.

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: