![]() |
Advertisement |
Ni kazi ya kwanza nje ya Ujerumani kwa Tuchel mwenye umri wa miaka 44, ambae alipata mafanikio mazuri kwa misimu kadhaa akiwa timu ya Mainz kabla ya kumpokea Jürgen Klopp kama kocha wa Dortmund. Tuchel alilazimika kuacha kucheza soka mnamo mwaka 1998 baada ya kupata jeraha la mguu wakati akiichezea timu ya Ulm.
0 maoni: