Jumapili, 25 Februari 2018

Manchester united yamcharaza konte

ad300
Advertisement

Klabu ya soka ya Manchester united Leo imeonesha ubabe wake katika uwanja wa nyumbani wa old Trafford Mara baada ya kuichapa Chelsea mabao mawili kwa moja na kuiacha timu hiyo ikiwa nafasi ya nne huku Manchester united ikikwea hadi nafasi ya pili katika msimamo wa ligi kuu nchini Uingereza

Chelsea ilikua ya kwanza kupata goli kipindi cha kwanza kupitia mchezaji wao Wilian dakika ya 32. Lakini goli hilo halikudumu na Manchester united kurudisha kupitia mshambuliaji R.Lukaku dakika ya 39

Manchester united iliongeza bao la pili katika dakika ya 75 goli lililopachikwa na mshambuliaji wao J.Lingard

Manchester united inapanda hadi nafasi ya pili katika harakati za kusaka ubingwa wa ligi hiyo

Share This
Previous Post
Next Post

Pellentesque vitae lectus in mauris sollicitudin ornare sit amet eget ligula. Donec pharetra, arcu eu consectetur semper, est nulla sodales risus, vel efficitur orci justo quis tellus. Phasellus sit amet est pharetra

0 maoni: